WHEN the first regional/zonal community paper, Nyasa leo, was established the vision was to acceleerate development in the periphery.
Existence of Regional Press Centre and a national umbrella institution for the same was a critical element designed to own, manage, run independent regional newspaper, radio and television stations.
I still believe most RPC shall die if they continue to depend on donors and don't have a valid media project of their own in their respective regions or zones.
MASS- MEDIA ADVISORY SERVICES TANZANIA
USHAURI kwa vyombo vya habari tanzania. Ikiwemo magazeti, redio, televisheni, tovuti na midia mpya kwa nia ya kuboresha kile wakipatacho wasomaji, wasikilizaji au watazamaji. Wasiliana nami kupitia SMS: +255714265218.
Monday, January 9, 2012
DEMOCRATICALLY BEST AND WORST MEDIA IN TANZANIA
REDIO moja nchini (siitaji nikajaitwa mhaini), ikipitia magazeti ilinukuu picha ya mwalimu akimsaidia mwanafunzi wa darasa la kwanza asiyejua kuandika akifundishwa kuandika. Upeo wa wachambuzi hao badala ya kutoa feli hiyo kasoro uliisifia. Ukweli lakini ni kwamba mtoto anayeingia darasa la kwanza lazima awe tayari anajua kuandika na kusoma kama mpwa wangu Mwanabaki ambaye kaanza darasa la kwanza Januari hii lakini ananisomea gazeti zima!!! Ipo haja ya kuangali a elimu, uwezo na ustadi wa wachambuzi wa habari na mambo kama hayo katika vyombo vyetu vya habari ili chombo kizima cha habari kisijekuonekana hakijaenda shule!!! Na kimejaa Maimuna na kina naninihino!
BARAZA la habari Tanzania/ TAMWA, LHRC na wadau wengineo wakati haujafika wa kuanzisha na kuwa na TUNZO KWA VYOMBO VYA HABARI VINAVYOENZI NA KULINDA DEMOKRASIA, UHURU WA MWANADAMU NA HAKI ZA KIJINSIA?
Tunaweza kuwa na Redio 10 Bora Kidemokrasia na Haki za Kibinadamu; Magazeti 10 Bora Kidemokrasia, Kihabari za Kuchumi/Kijamii na Haki za binadamu; Televisheni 5 Bora , Kihabari za Kuchumi/Kijamii na Kihaki za Kibinadamu.
Hili litasaidia kujua vyombo vipi vya habari ni PUMBA (vyombo vya habari vilivyoolewa na wanasiasa) na vipi ndio nafaka halisi (vyombo vya habari huru.). Na pia kuondokana na ile danganyatoto ya kila chombo cha habari Tanzania kuwa ndio NAMBA MOJA !!!
Nigeria please remember India's independence and the session of now Pakistan and Bangladesh, and the aforemath and aftermath. And Qatar and UAE and Moslems world over, now is the time to take a message of peace and unity to Nigeria for the good of all, and avoid tendency of fanning a civil war as leaders and followers from other faith are currently doing now!
BARAZA la habari Tanzania/ TAMWA, LHRC na wadau wengineo wakati haujafika wa kuanzisha na kuwa na TUNZO KWA VYOMBO VYA HABARI VINAVYOENZI NA KULINDA DEMOKRASIA, UHURU WA MWANADAMU NA HAKI ZA KIJINSIA?
Tunaweza kuwa na Redio 10 Bora Kidemokrasia na Haki za Kibinadamu; Magazeti 10 Bora Kidemokrasia, Kihabari za Kuchumi/Kijamii na Haki za binadamu; Televisheni 5 Bora , Kihabari za Kuchumi/Kijamii na Kihaki za Kibinadamu.
Hili litasaidia kujua vyombo vipi vya habari ni PUMBA (vyombo vya habari vilivyoolewa na wanasiasa) na vipi ndio nafaka halisi (vyombo vya habari huru.). Na pia kuondokana na ile danganyatoto ya kila chombo cha habari Tanzania kuwa ndio NAMBA MOJA !!!
Nigeria please remember India's independence and the session of now Pakistan and Bangladesh, and the aforemath and aftermath. And Qatar and UAE and Moslems world over, now is the time to take a message of peace and unity to Nigeria for the good of all, and avoid tendency of fanning a civil war as leaders and followers from other faith are currently doing now!
Monday, September 19, 2011
Mass media needs new leaders and organizations
Mass Media needs various types of organizations and leaderships to enjoy economies of scale and prevent expenses that can be better utilized in growing bigger, profitable and more competent human capital.
Mass media needs new leaders and organizations
Mass Media needs various types of organizations and leaderships to enjoy economies of scale and prevent expenses that can be better utilized in growing bigger, profitable and more competent human capital.
Tuesday, April 19, 2011
Maudhui na sura ya gazeti hustahili kubadilika kila baada ya miaka miwili
Hivi unaweza kuwa na gazeti ambalo halibadili maudhui wala sura yake kwa miaka 2-3 na bado ukaamini unaweza ukashindana kwenye soko kwa kuuza jina la zamani tu?
Jiulize, tuwasiliane, tuongee na tufanye kazi! Bado kuna soko zuri tu mtu ukijiweka sawa kuanzia sasa maana msisimko wa demokrasia na katiba utazidi kuongezeka siku hadi siku!
Jiulize, tuwasiliane, tuongee na tufanye kazi! Bado kuna soko zuri tu mtu ukijiweka sawa kuanzia sasa maana msisimko wa demokrasia na katiba utazidi kuongezeka siku hadi siku!
Taarifa za Habari za dakika 10 zimepitwa na wakati
Mtanisahihisha kama ninakosea. Lakini ninaamini taarifa za habari za dakika 10 katika redio ni jambo lililopitwa na wakati.
Yapo maeneo mbalimbali ndani na nje ya nchi yenye masuala mbalimbali yanayoweza kuwa chachu ya kiuchumi, kijamii, kisiasa, kiteknolojia na kiutamaduni endapo yanazungumziwa kwa kina na kwa upana wake na Watanzania wakajifunza kitu hapo na hivyo taarifa ya habari yenye uchambuzi wa dakika 20 au zaidi nadhani ndiyo iwe staili ya taarifa zetu za habari kuanzia sasa.
Ni bora uwe na taarifa mbili au tatu tu za habari kwa siku kuliko kuwa na taarifa 6 au zaidi ambazo hazina lolote jipya na ni za dakika chini ya 10 kila moja!
Yapo maeneo mbalimbali ndani na nje ya nchi yenye masuala mbalimbali yanayoweza kuwa chachu ya kiuchumi, kijamii, kisiasa, kiteknolojia na kiutamaduni endapo yanazungumziwa kwa kina na kwa upana wake na Watanzania wakajifunza kitu hapo na hivyo taarifa ya habari yenye uchambuzi wa dakika 20 au zaidi nadhani ndiyo iwe staili ya taarifa zetu za habari kuanzia sasa.
Ni bora uwe na taarifa mbili au tatu tu za habari kwa siku kuliko kuwa na taarifa 6 au zaidi ambazo hazina lolote jipya na ni za dakika chini ya 10 kila moja!
Redio za dini na siasa
HAKUNA hatari kubwa kama ile ya chombo cha habari cha kidini kuchanganya siasa na dini. Kumbukeni kina Radio Quran, Radio Kheri na Radio Imani yale ya Redio za kule Rwanda jamani!
Kama mpenzi wa redio hizo za dini hapo awali nilicacha kuzisikiliza kabisa zilipoanza kuhubiri siasa na tena zikionesha kuegemea waziwazi upande mmoja. Sikuhizi ninazisikiliza tu pale ninaposikia Kurani Tukufu inasomwa. Basi!
Wale wanaohusika na usimamizi wa vyombo vya habari watupie macho vyombo hivi kwa sababu kwa kweli kitaalamu na kimaadili vinahitaji msaada mkubwa tena wa haraka!
Kama mpenzi wa redio hizo za dini hapo awali nilicacha kuzisikiliza kabisa zilipoanza kuhubiri siasa na tena zikionesha kuegemea waziwazi upande mmoja. Sikuhizi ninazisikiliza tu pale ninaposikia Kurani Tukufu inasomwa. Basi!
Wale wanaohusika na usimamizi wa vyombo vya habari watupie macho vyombo hivi kwa sababu kwa kweli kitaalamu na kimaadili vinahitaji msaada mkubwa tena wa haraka!
Subscribe to:
Posts (Atom)