Hivi unaweza kuwa na gazeti ambalo halibadili maudhui wala sura yake kwa miaka 2-3 na bado ukaamini unaweza ukashindana kwenye soko kwa kuuza jina la zamani tu?
Jiulize, tuwasiliane, tuongee na tufanye kazi! Bado kuna soko zuri tu mtu ukijiweka sawa kuanzia sasa maana msisimko wa demokrasia na katiba utazidi kuongezeka siku hadi siku!
No comments:
Post a Comment