USHAURI kwa vyombo vya habari tanzania. Ikiwemo magazeti, redio, televisheni, tovuti na midia mpya kwa nia ya kuboresha kile wakipatacho wasomaji, wasikilizaji au watazamaji. Wasiliana nami kupitia SMS: +255714265218.
Tuesday, April 19, 2011
Mmm, Watangazaji kama hawa !
Unapomsikia mtangazaji wa redio au televisheni anayeshindwa kutofautisha kati ya 'ri' na 'li' katika kiswahili na wala sio Kiingereza, je, unakichukulia vipi chombo cha habari husika?
No comments:
Post a Comment