Wednesday, September 8, 2010

FM 100.5

Ninaomba kazi toka kituo hiki ambacho kuamkia usiku wa leo kuanzia saa tisa usiku
hadi ninapoandika hili karibu saa 11 asubuhi kompyuta ilikuwa imejamu na sauti
iliyokuwa ikitoka ni nkidu nkidu nkidu nkidu nkidu....

La, sivyo wawafundishe hata walinzi kuishtua basi kompyuta inapojamu. Ni redio yenye
jina kubwa na kosa la namna hii halistahili kuwepo kamwe. Je, hakuna radio monitors
ndani na nje ya studio? Je, hakuna mtangazaji wa zamu usiku (mtu ambaye kukaa macho
usiku kwake si taabu au starehe).

No comments:

Post a Comment