Karibia redio zote za FM Tanzania zina matatizo wakati wa kuwasiliana na watu nje ya
studio kwa simu. Makelele mengi husikika na ni kawaida ya watangazaji kuwashurutisha
wasikilizaji kupunguza sauti ya redio zao. Je, hii ni sahihi ?Au na redio kama sekta
nyingine tunakuwa ni wale wale waswahili wa kuachia matatizo kuwa matatizo mwaka
nenda, mwaka rudi. Hangaikeni kutafuta teknolojia maridhawa na isiyoingilia uhuru wa
wasikilizaji nadhani na ninaamini ipo....hatujajishughulisha vya kutosha tu !!!
No comments:
Post a Comment